Unafaa kujituma

Jinsi ya kuzidisha ladha katika ndoa,ni vipi unavyofanya mambo kusalia na makali?+Podi ya Yusuf Juma

Usipozichukua hatua zozote basi kila kitu kinazima

Muhtasari

 

  •  Hakuna mmea unaozaa mafao bila kupaliliwa
  • Ndoa ni kama mmea unaohitaji kunyunyuziwa maji kila mara 

 

Yusuf Juma na Mutala Mukosia

 Katika Podi ya leo  tunajadili mambo ambayo wanandoa mnaweza kuyafanya kuhakikisha kwamba makali na moto katika ndoa yenu unasalia kuwepo.  Mazoea na kufanya kila jambo kwa njia moja kwa muda mrefu ndio badhi ya mambo ynayoweza kupunguza makali ya utamu wa ndoa 

Leo tunakupa siri za jinsi ya kuhakikisha kwamba mvuke unazidi kutoka licha ya kasi na uchovu wa muda katika mahusiano au ndoa