Mwanamke ,unaweza kuanza kumtongoza mwanamme,Fahamu zaidi+Podi ya Yusuf Juma

Muhtasari

 

  • Fahamu unavyoweza kuanza kuzungumza na mwanamme 
  •  Usawa wa kijinsia umemaanisha kwamba wawake wanajipata katika mstari wa mbele katika kila jambo 
  • Katika Podkast hii fahamu mwongozo unaoweza kuufuata 
Yusuf Juma Na Mutala Mukosia

Kunao msemo kwamba  anayeuliza ni mjinga wa dakika tano lakini anayekosa kuuliza atasalia mjinga   maisha yake yote .Ndio  usemi ambao unafaa kukupa taswira ya jinsi mambo yatakavyokuwa endapo kama mwanadada utapatwa na woga wa kuwa wa kwanza kuzungumza na  mwanamme ambaye umevutiwa naye .

Kunao msemo kwamba  anayeuliza ni mjinga wa dakika tano lakini anayekosa kuuliza atasalia mjinga   maisha yake yote .Ndio  usemi ambao unafaa kukupa taswira ya jinsi mambo yatakavyokuwa endapo kama mwanadada utapatwa na woga wa kuwa wa kwanza kuzungumza na  mwanamme ambaye umevutiwa naye .

 Katika  hali ya kawaida na kutokana na  mazoaea au mila na desturi , inafahamika kwamba mwanamme ndiye humtongoza mwanammke ,lakini usasa na kubadilika kwa mambo pamoja na teknolojia  ni mambo ambayo yamesAwazisha  uwanja  na wanawake sasa wanapata ujasiri wa kuwakaribia wanaume na hata kuanza mchakato wa kuwajua  na hata kuwatongoza .

Je ,ni vipi  unavyoweza kuwa wa kwanza ‘kutupa mistari’ na kufaulu ?